Mshale wa Matumaini (Access)

Mshale wa Matumaini (Access)

KES530
Product Code: Mshale wa Matumaini (Access)
Stock Instock

Overview

Product SpecificationsAge Range:Kids 0-12Pack Size:1 PIECEGenre:FictionRegion:KenyanSubject:KiswahiliAuthor:JOHN HABWEPublisher:ACCESS PUBLISHERS LTDClass:Grade 7DescriptionZingo na mama yake wanakimbilia ughaibuni kufuatia mzozo wa kikabila katika n...

Product Specifications

Age Range:Kids 0-12

Pack Size:1 PIECE

Genre:Fiction

Region:Kenyan

Subject:Kiswahili

Author:JOHN HABWE

Publisher:ACCESS PUBLISHERS LTD

Class:Grade 7



Description

Zingo na mama yake wanakimbilia ughaibuni kufuatia mzozo wa kikabila katika nchi yao. Huko ughaibuni wanakabiliwa na matatizo mengi. Zingo anafanya bidii kuyakabili licha ya umri wake mdogo. Hata hivyo, kinachomstaajabisha na kumhuzunisha ni kuhusishwa na baba yake ambaye anatuhumiwa kuwa mhalifu wa kivita. Zingo anabaguliwa na wenzake lakini anapiga moyo konde na kuendelea na masomo yake ambayo sasa yanampa matumaini ya kuyageuza maisha yake ya karaha kuwa ya furaha. Hii ni hadithi ya huzuni inayofunua makovu ya mizozo ya kijamii hasa mizozo hiyo inavyoathiri vijana wadogo.


BUY NOW Mshale wa Matumaini (Access) online in Nairobi at Emart Kenya

We offer same-day delivery in Nairobi within hours, and we send parcels to Mombasa, Eldoret, Nakuru, Kisumu, Kiambu, Voi, Nyahururu, Karen, Runda, Muthaiga, Lavington, Meru, Pridelands, Juja, Thika, Diani Beach, Kileleshwa, Murang’a, Wajir, Limuru, Garissa, Machakos, Kisii, Malaba Border, Tigoni Kiambu, and across all 47 counties of Kenya.

We also deliver across East Africa, including Uganda, Tanzania, and Sudan.

For quick orders Call/WhatsApp: 0799 978 966 / 0739 701 854.